Sitobaki Kama Nilivyo
- Gospo Daily Tz
- Jun 24, 2017
- 1 min read
Siku zote katika maisha tumekuwa tukipitia magumu mbalimbali amabayo yanaweza yakawa yametukatisha tamaa. Lakini unapokuwa na Tumaini kwa Mungu kwa roho na kweli hakika utabadilika,utaheshimiwa na kuonwa Mtu wa Maana kwani Mtetezi wetu yu hai siku zote.Ungana na Kaka Joel Lwaga katika wimbo wake mpya wa SITABAKI KAMA NILIVYO.
Comments